Wananchi wa Mkoa wa Kagera watakiwa kufuata Maelekezo ya wataalamu wa Afya Ili kuweza kuepuka magonjwa mbalimbali ya mlipuko

Na Mwandishi Wetu Kagera Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel kwa niaba ya Waziri wa Afya amewaasa wananchi wa Mkoa wa Kagera kufuata maelekezo ya Wataalamu wa afya katika maeneo yao ili kupambana dhidi ya magonjwa mbalimbali ikiwemo magonjwa ya mlipuko.  Dkt. Mollel ametoa wito huo Machi 18, 2023 wakati akiongea na vyombo vya